Kishore Kumar Hits

Marioo - Hapana текст песни

Исполнитель: Marioo

альбом: The Kid You Know (Deluxe Edition)


Mmh kapipo
Mmmh yeeeeh
Mi mwenzako sina tena
Mahali ambako ata nitajipoza machungu yangu
Aah mi mwenzako sina tena
Mahali ambako ata nitajipoza machungu yangu mmh
Let me know baby let me know
Wapi nakosea labda mbona imekua ghafla plz baby no
Let me know baby let me know
Wapi nakosea aah kipi sijakufanyia eeh
Ahadi ni deni mi nakudai husisahau
Umenizamishaa no baby no
Hapana hapana hapana
Hapana hapana hapana
Hapana hapana hapana
Hapana
Hapana hapana hapana
Hapana hapana hapana
Hapana hapana hapana
Hapana

Na ntaambia nini watu
Wakiniona nalia wakiniona chozi lanitoka
Wajua maneno ya watu hayanaga pazia
Kama najiona roho nitavyonitoka aaah
Shida ni kwamba utaondosha amani yangu
Yote thamani yangu inazama yooh
Shida ni kwamba utaondosha radha yangu
Na Yote thamani yangu ndogoo
Ahadi ni deni mi nakudai
Usisahau umenizamisha no baby no

Aah no no no no
Aaaah eeeeeh
Aaah hapana

Поcмотреть все песни артиста

Другие альбомы исполнителя

Похожие исполнители

Kusah

Исполнитель

Nandy

Исполнитель

Jux

Исполнитель

Zuchu

Исполнитель