Kishore Kumar Hits

East African Melody - Ulijuaje Kama Si Umbeya текст песни

Исполнитель: East African Melody

альбом: Udugu Mchana


Umejuaje umejuaje umejuaje
Umejuaje nimefanikiwa umejuaje
Umejuaje ukaona fi umejuaje
Umejuaje kama si umbea umejuaje
Umejuaje umejuaje umejuaje
Umejuaje nimefanikiwa umejuaje
Umejuaje ukaona fi umejuaje
Umejuaje kama si umbea umejuaje
Umeyatafuta umeshayapata sasa walia lia
Umeyatafuta umeshayapata sasa walia lia
Vizuri vyakupita wavikodolea macho
Vinono vyakupita wavikodolea macho
Vitamu vyakupita wavikodolea macho
Wakufuma tumefuma (fumaa)
Wakukosa umekosa (kosaa)
Wakufuma tumefuma (fumaa)
Wakukosa umekosa
Sadakta umepata sadakta
Sadakta nimefanikiwa sadakta
Sadakta umepata sadakta
Sadakta nimefanikiwa sadakta
Umesikika waamba
Wewe bado unagomba
Kipi kikusumbua hicho jambo
Macho yako kama mamba
Wala hujui kufumba
Hakikupiti kitu kirembo
Umesikika waamba
Wewe bado unagomba
Kipi kikusumbua hicho jambo
Macho yako kama mamba
Wala hujui kufumba
Hakikupiti kitu kirembo
Japo mie sijatamba
Wala sio wa kujigamba
Lakini sifichi langu pambo
Kasirika sasa vimba
Bure jua hutaziba
Wewe jifunze ujue mambo
Japo mie sijatamba
Wala sio wa kujigamba
Lakini sifichi langu pambo
Kasirika sasa vimba
Bure jua hutaziba
Wewe jifunze ujue mambo
Endelea kunichimba
Nenda kwa wachawi Gomba
Endelea kunichimba
Nenda kwa wachawi Gomba
Jua Mungu hapigi kwa fimbo
Jua Mungu hapigi kwa fimbo
Adabu yako elewa
Nimefanikiwa mie
Nimeongokewa mie
Nimejaaliwa mie
Unaona fii
Uliona mie bung'aa
Siachi siachi
Siachi siachi
Mwambie siachi
Unaona fii
Niliyekupanda rafoo
Siach siachi
Siachi siachi
Kupanda rafoo siachi
Unaona fii
Mie kwenda melody
Siachi siachi
Siachi siachi
Kwenda melody siachi
Wataka kuliziba jua na ungo
Huwezi kuliziba jua
Huwezi kuliziba na ungo
Huwezi kuliziba jua
Huwezi kuliziba
Wataka kuliziba jua na ungo
Huwezi kuliziba jua
Huwezi kuliziba na ungo
Huwezi kuliziba jua
Huwezi kuliziba
Milango uliyofunga
Gonga misumari gonga
Fanya ukuta ujenge pia
Weka mtu wa kuchunga
Utaniona kusonga
Sasa Mungu kanifungulia
Milango uliyofunga
Gonga misumari gonga
Fanya ukuta ujenge pia
Weka mtu wa kuchunga
Utaniona kusonga
Sasa Mungu kanifungulia
Ulie ukining'onga
Eti mi wa moja kanga
Hali ishanibadilikia
Jahazi kutoka Manga
Kwangu limetia nanga
Neema sasa nazilalia
Ulie ukining'onga
Eti mi wa moja kanga
Hali ishanibadilikia
Jahazi kutoka Manga
Kwangu limetia nanga
Neema sasa nazilalia
Hebu domo lako funga
Kwangu mimi utachonga
Hebu domo lako funga
Kwangu mimi utachonga
Jua Mungu ameshanilipia
Jua Mungu ameshanilipia
Jaza yako elewa
Nimefanikiwa mie
Nimeongokewa mie
Nimejaaliwa mie
Unaona fii
Uliona mie bung'aa
Siachi siachi
Siachi siachi
Na mie siachi
Unaona fii
Niliyekupanda rafoo
Siach siachi
Siachi siachi
Kupanda rafoo siachi
Unaona fii
Mie kwenda melody
Siachi siachi
Siachi siachi
Kwenda melody siachi
Wataka kuliziba jua na ungo
Huwezi kuliziba jua
Huwezi kuliziba na ungo
Huwezi kuliziba jua
Huwezi kuliziba
Wataka kuliziba jua na ungo
Huwezi kuliziba jua
Huwezi kuliziba na ungo
Huwezi kuliziba jua
Huwezi kuliziba
Kalichagua goma
La Kiswahili goma
Kalichagua goma
La Kiswahili goma
Chakacha namchezea habibi namchezea
Lelemama namchezea habibi namchezea
Usewe namchezea habibi namchezea
Hataki biriani yako kalichagua bada langu
Hataki biriani yako kalichagua bada langu
Sima ya bada hujui kusonga
Hujui kusonga sima ya bada
Sima ya bada hujui kusonga
Hujui kusonga sima ya bada
Sima ya bada tamu
Ipate mpishi timamu
Ipate mpaka vivu
Utie na tui gumu
Pia chacha ndu ya ndimu
Sima ya bada tamu
Ipate mpishi timamu
Ipate mpaka vivu
Utie na tui gumu
Pia chacha ndu ya ndimu
Ukiila huishi hamu
Huishi hamu kuila
Ukiila huishi hamu
Huishi hamu kuila

Поcмотреть все песни артиста

Другие альбомы исполнителя

Похожие исполнители